P.O.BOX 459
DODOMA- TANZANIA.
Website: www.highscorevtc.ac.tz
E-mail: info@ highscorevtc.ac.tz
Uhindini Street nearby Tanga fresh
Mob: +255762009415
+255714142018
Full Time Courses: Nail Technology, Hairdressing, Beauty therapy, Cosmetology, Facial skincare, Massage, Make-up
CHUO KIMESAJILIWA KWA NAMBA REG/NACTVET/0783P
Jina kamili (Full name): <%-Name%>
Jinsia (gender): <%-Gender%>
Tarehe ya Kuzaliwa (Date of Birth): <%-Dob%>
Mahali alipozaliwa (place of birth) <%-PlaceBirth%>
Dini(Religion): <%-Religion%> Simu (Phone): <%-Phone%>
Mahali unapoishi (Residential area): <%-ResidentialArea%>
Kiwango cha elimu ulichonacho kwasasa: <%-Education%>
Anayekulipia ada: <%-ResidentialArea%>
Tarehe ya kujiunga (date of joining): <%-CurrentTime%>
Jina kamili (Full name): <%-ParentName%>
Mahali anapoishi Mzazi/Mlezi (Residential Area): <%-ParentResidential%>
Namba za simu za Mzazi/Mlezi: <%-ParentPhone%>
Je? Una tatizo lolote la kiafya la kudumu. (Is there any persistence health matter?): <%-HealthIssue%>
Kama lipo eleza (If ‘yes’, explain): <%-HealthDetails%>
Mwanafunzi aliyeandikishwa hapo juu amepokelewa rasmi na chuo tarehe..............
Jina la mkuu wa chuo (Name of Principal).............................
Saini (Signature) ..................
Mhuri wa chuo.
Tarehe (Date) ....................
MCHANGANUO WA ADA NA MICHANGO MINGINE | |||||||
---|---|---|---|---|---|---|---|
WANAFUNZI WANAOSOMA KOZI YA USUSI NA UREMBO KWA MUDA WA MIEZI 4 | |||||||
SIFA ZA MUOMBAJI: AWE ANAJUA KUSOMA NA KUANDIKA | |||||||
KUTWA | AWAMU YA 1 | AWAMU YA 2 | HOSTELI | AWAMU YA 1 | AWAMU YA 2 | ||
800,000/= | 500,000/= | 300,000/= | 1,000,000/= | 600,000/= | 400,000/= | ||
Awamu ya kwanza italipwa mara baada ya kupokelewa na kusajiliwa. Awamu ya pili italipwa mara baada ya mwezi mmoja (1) kuisha. |
|||||||
WANAFUNZI WANAOSOMA KOZI YA USUSI NA UREMBO KWA MUDA WA MWAKA 1 | |||||||
SIFA ZA MUOMBAJI: AWE AMEHITIMU KIDATO CHA NNE AU ZAIDI na awe na ufaulu wa D 3 | |||||||
vitu vya kuja navyo: cheti cha kuzaliwa (copy),cheti cha sekondari (copy) cheti kingine kama kipo | |||||||
KUTWA | AWAMU YA 1 | AWAMU YA 2 | HOSTELI | AWAMU YA 1 | AWAMU YA 2 | ||
1,200,000/= | 800,000/= | 400,000/= | 1,600,000/= | 1,000,000/= | 600,000/= | ||
Awamu ya kwanza italipwa mara baada ya kupokelewa na kusajiliwa. Awamu ya pili italipwa mara baada ya miezi mitatu (3) kuisha. |
Malipo yote yalipwe kwa HIGH SCORE VOCATIONAL TRAINING CENTRE kupitia Bank CRDB au NMB Bank na stakabadhi ya malipo iwasilishwe chuoni.
NB: HATUPOKEI PESA YOYOTE MKONONI, LIPA BENKI, NJOO NA STAKABADHI YA MALIPO.
HIGH SCORE VOCATIONAL TRAINING CENTRE ni chuo Bora cha USUSI NA UREMBO nchini Tanzania kilichosajiriwa na NACTVET kwa namba REG/NACTVET/0783P.
High score vtc ni chuo cha kutwa na Bweni kwa wasichana na wavulana, chuo hiki kinatoa kozi za ususi na urembo, Computer Application,kupika keki na kupamba kumbi, kwa kozi za muda mfupi (short course- 4 Months) na kozi za muda mrefu (Long course- 1 year ).
Sheria na taratibu hizi za chuo zinalenga kumpatia Mwanafunzi Malezi bora; yaani kumwandaa vyema kitaaluma na kinidhamu ili kumwezesha kuwa na uwezo wa kujiajiri au kuajiriwa kupitia mafunzo aliyoyapata kutoka High score vocational training centre.
Chuo kinaheshimu uhuru wa kuabudu kama ilivyoainishwa katika katiba ya nchi, kwa hivyo kila Mwanafunzi ataruhusiwa kushiriki katika shughuli za dini yake.
Mimi <%-Name%>
Nadhibitisha kuwa nimezisoma na kuzielewa kanuni na taratibu zote za
chuo, naahidi kuwa nitazifuata wakati wote nitakapokuwepo HIGH SCORE
vocational Training centre.
Saini…………………………………… Tarehe……………………….
Mimi <%-ParentName%>
Mzazi/ Mlezi wa mwanafunzi tajwa hapo juu.
Nathibitisha kuwa nimesoma na kuzielewa kanuni na taratibu zote za chuo.
Naahidi kuwa, nitashirikiana na chuo ili mwanangu/mke/mme/ndugu/jamaa
azifuate na kuzitii kanuni na taratibu zote tajwa hapo juu.
Saini……………………………Tarehe……………………………….
“Mkamate sana
elimu, usimwache aende zake”
Mithali 4:13